Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Rosina Lipyoga, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kuanzisha huduma ya kufanya uchunguzi wa mwili mzima kwa pamoja kwa mtu yeyote hatakama hauumwi ili kupunguza idadi ya wagonjwa hospitalini jijini Dar es Salaam,kushoto Mkurugenzi wa uuguzi Salome Mayenga. Picha na Said Powa
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, August 17, 2010
Home
Unlabelled
MUHIMBILI KUPIMA WASIOUMWA KILA JUMAMOSI
MUHIMBILI KUPIMA WASIOUMWA KILA JUMAMOSI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
DIRECTOR RAH TANZANIA BLOG. Photojournalist Tanzania Daima.
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
No comments:
Post a Comment