Maalim Seif kushoto na Rais wa Zanzibar Dk. Shein kulia.
Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Ofisi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha zote na Ramadhan Othman, IKULU.
Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Ofisi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha zote na Ramadhan Othman, IKULU.
No comments:
Post a Comment