Eneo la Manzese Darajani.
Sehemu ya gadeni kati ya barabara imekwanguliwa yote, kurahisisha ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo kasi.
Hapa ni eneo la Kagera barabara itokayo Mburahati inayo katiza barabara ya Morogoro ikiwa imefungwa na kuchimbwa kabisa kwenye eneo hilo, alama ikionyesha hamna njia.
Sehemu ya gadeni kati ya barabara imekwanguliwa yote, kurahisisha ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo kasi.
Hapa ni eneo la Kagera barabara itokayo Mburahati inayo katiza barabara ya Morogoro ikiwa imefungwa na kuchimbwa kabisa kwenye eneo hilo, alama ikionyesha hamna njia.
No comments:
Post a Comment