![]() |
Waziri wa Miundmbinu na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (CUF) Hamad Masoud, amejiuzulu kufuatia ajali ya boti ya MV Skagit, iliyotokea zanzibar hivi karibuni na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ameridhiakujiuzulu kwa Waziri huyo na amemteua Rashid Seif Selemani (Ziwani CUF) kushika nafasi hiyo. Huku makamo wapili wa Rais wa Serikali hiyo Balozi Seif Ally Iddi akisema uamuzi wakujiuzulu Hamad ni wake binafsi. |
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Monday, July 23, 2012
Home
Unlabelled
KUTOKANA NA AJALI YA KUZAMA KWA BOTI YA MV SKAGIT WAZIRI AJIUZULU ZANZIBAR
KUTOKANA NA AJALI YA KUZAMA KWA BOTI YA MV SKAGIT WAZIRI AJIUZULU ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
DIRECTOR RAH TANZANIA BLOG. Photojournalist Tanzania Daima.
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
No comments:
Post a Comment