MWEZI MTUKUFU: - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 7, 2012

MWEZI MTUKUFU:

Jumuiya ya Kiislamu ya watanzania waishio Marekani (DMV) wafutarisha na kuwaombea dua walio mbele ya haki.
Waumuni wakiwa kwenye kisoma pamoja na futari ilifanyika katika ukumbi wa Hillandale Local Park New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland juzi.
Waumini wakiwa katika futari iliyoandaliwa na jumuia ya Kiislamu Tanzanian Muslim Community, katika ukumbi wa Hillandale Local Park, New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland nchini Marekani.
 Bwana Omar kutoka State ya Philadelphia alimazia kwa kuwakumbusha waumini wa jumaia, umuhimu wa Dini ya Kiislam katika Mwenzi huu Mtukufu wa Ramadhani.

Post Top Ad

Responsive Ads Here