AFYA YA GURUMO YAIMARIKA AREJEA JUKWAANI. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, September 10, 2012

AFYA YA GURUMO YAIMARIKA AREJEA JUKWAANI.

Mwimbaji Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Maalim Gurumo (kushoto) akiimba sambamba na Hassani Moshi 'Tx Jr' wakati bendi hiyo ilipotumbuiza kwenye ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni, jijini Dar es Salaam.  Gurumo ni mwanamziki Mkongwe pekee aliyedumu katika Jukwaa kwa mda mrefu nchini ambapo hivi karibuni alikuwa akisumbuliwa na Maradhi lakini kwa sasa karudi ulingoni kukonga mashabiki wa bendi hiyo, kulia ni
Muhidin Maalim Gurumo na Hassan Moshi (TX JR,)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here