 |
Padre Kalaso (kati) wa Kanisa la Familia Takatifu Parokia ya Ipuli, Tabora akishuhudia Bwana Allen Munene akimvalisha pete bibi Veronica Stima wakati wakifunga ndoa takatifu iliyofanyikia kanisani hapo na kufuatiwa na sherehe iliyofayika katika ukumbi wa chuo cha Utumishi wa Umma Uhazili, Tabora.
|
Bibi Veronica Stima akimvalisha mumewe Allen.
Kilele cha furaha ya harusi mapambo na mapambio kitu mmmmmmmwaaaaaaaaaaa
Pozi la pekee; bibi harusi akiwa na wasimamizi wake.
Jamani mambo yapwani na Tabora yapo jamani lainiiiiiiiii kama unanawaaaaaaaaaaaaaa.
Makeki nayo kwasaaaaaaaaaaaaaaaaana.
No comments:
Post a Comment