JK AENDESHA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM DODOMA. Asema anaesema ccm inakufa atakufa yeye ccm ataiacha. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, September 24, 2012

JK AENDESHA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM DODOMA. Asema anaesema ccm inakufa atakufa yeye ccm ataiacha.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,(katika) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein,          ( kushoto) Katibu Mkuu wa CCM Taifa Willson Mkama,(kulia) wakifurahia jambo wakati Mwenyekiti allipokuwa akiendesha Kikao cha siku moja cha Kamati Kuu kilichofanyika leo katika ukumbi wa White
House, Dodoma. 
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,(kulia) na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here