KIKITIMIZA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, September 9, 2012

KIKITIMIZA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA.

Chuo Kikuu huria chajadili umasikini Tanzania.
Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Frederick Sumaye, akihutubia kwenye  muhadhara wa kujadili changamoto za umasikini ulioandaliwa na Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania jana Muhadhara umeenda sambamba na maadhimisho ya miaka 20 ya chuo hicho.
Baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho wakiwa katika muhadhara huo wa kujadil changamoto za umasikini.
Makamu Mkuu wa chuo hicho Prof. Tolly Mbwete,  akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa muhadhara huo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here