WAKATI LIGI KUU IKIKARIBIA KUANZA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 5, 2012

WAKATI LIGI KUU IKIKARIBIA KUANZA.

TBL yatema vifaa Simba, Yanga Leo.
Afisa Habari wa Yanga, Louis Alphonce Sendeu (kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ (kulia), wakionesha baadhi ya vifaa vya michezo  walivyokabidhiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambao ndio wadhamini wakuu wa klabu hizo. Wa pili kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe na Mkurugenzi wa Mashindano, Saad Kawemba. Kwenye hafla iliyofanyika katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jijini Dar es salaam leo.
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ akizungumza katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here