DK.SHEIN AENDELEA NA ZIARA KASKAZINI PEMBA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, March 19, 2013

DK.SHEIN AENDELEA NA ZIARA KASKAZINI PEMBA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kufungua madarasa mapya kusomea ya Skuli ya Msingi ya Ole, Jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba jana, akiwa katika ziara ya kikazi katika Mkoa huo.


Akikagua madarasa.
Wasoma utenzi.
Baadhi ya wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Ole,Jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza nao baada ya kufungua madarasa mapya ya kusomea Skulini hapo jana,akiwa katika ziara ya kikazi ndani ya Mkoa huo.
Akizungumzaa na wanafunzi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here