SERIKALI YATOA MSAMAHA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, January 15, 2016

SERIKALI YATOA MSAMAHA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Saslaam jana, juu ya serikali kupitia wizara hiyo kutoa msamaha wa miezi mitatu kwa waganga wanaotoa huduma za tiba asili na tiba mbadala kuendelea kujisajili ili kutambulika kisheria. Kulia ni Naibu waziri wa wizara hiyo, Dk.Hamis Kigwangwallah na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk. Mpoki Ulisubisya

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here