FUNGA MWAKA NA DStv imewadia. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, November 16, 2017

FUNGA MWAKA NA DStv imewadia.

Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania Alpha Mria akizungumza wakati wa kutangaza rasmi ofa ya Funga Mwaka na DStv ambapo wateja wapya wa DStv wataweza kujiunga kwa shilling 79,000 tu na kupata kifurushi cha mwezi mzima bure. Ofa hiyo itadumu kwa miezi miwili hadi Januari 15, 2018.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MultiChoice Tanzania Hilda Nakajumo akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi wa zawadi ya king’amuzi cha DStv Mohammed Sadik Sukuzi (wa pili kushoto) wakati wa hafla fupi ya kutangaza ofa maalumu ya DStv ya msimu wa sikukuu ijulikanayo kama Funga mwaka na DStv ambapo wateja wapya wa DStv wataweza kujiunga kwa shilling 79,000 tu na kupata kifurushi cha mwezi mzima bure. Ofa hiyo itadumu kwa miezi miwili hadi Januari 15, 2018

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here