JAMANI MANZESEE? - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, May 23, 2012

JAMANI MANZESEE?

Pamoja na kuwekwa miundo mbinu ya maji taka yakutosha kwenye eno la Manzese bado wakzi wake wamekua ni wachafu kwa kutupa takataka kwenye mitaro hiyo na kushindwa kuisafisha hali wakijua kuwa watoto wao wanacheza humo, Bloger akiwa Roving aliinasa picha hii eneo la Manzese Darajani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here