MASHINDANO YA JUDO YAANZA JIJINI DAR, ZANZIBAR KAMA KAWAIDA YAZIDI KUITESA BARA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, May 26, 2012

MASHINDANO YA JUDO YAANZA JIJINI DAR, ZANZIBAR KAMA KAWAIDA YAZIDI KUITESA BARA.

 Baadhi ya Viongozi wa Mchezo wa Judo wakifuatlia kwa makini namna wachezaji wanavyo pambana.
 Mchzaji wa Judo kutoka Zanzibar Ahmad Shah (juu) akimkandamiza mchezaji wa magereza Athumani Ally wakati wa michuano hiyo ilionza leo kwenye Hoteli ya Land Marck jijini Dar es Salaam.

 Hawa ni Mohamed Kolagonde wa na Nickolaus Faustine (kulia) wakionyeshana Ubabe kwenye mchezo wa judo.
Waamuzi nao walikua na vifaa maalum vya kukusanya points.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here