SIKU YA KIMATAIFA YA WALINDA AMANI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR. Tanzania yajivunia kuwa na majeshi kwenye nchi mbalimbali duniani wakilinda amani. Ina majeshi Daafur Sudan, Lebanon, Ivory Cost na nchi nyingine nyingi. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, May 29, 2012

SIKU YA KIMATAIFA YA WALINDA AMANI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR. Tanzania yajivunia kuwa na majeshi kwenye nchi mbalimbali duniani wakilinda amani. Ina majeshi Daafur Sudan, Lebanon, Ivory Cost na nchi nyingine nyingi.


Naibu Waziri wa Mambo ya nnje na Ushirikiano wa Kimataifa, wa Tanzania  Mahadhi Maalim, akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kuhtubia vikosi vya walinda amani kwenye Mnara wa Mashujaa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi punde.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Nnje Mahadhi Maalim, akiwasalimia walinda amani wa Tanzania kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.
 Gwaride maalm na brass band ya walinda amani.
 Brass band ya walinda amani

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here