TIGO YAENDELEA NA MATAMASHA KASKAZINI SASA NI ZAMU YA MBULU. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, June 4, 2012

TIGO YAENDELEA NA MATAMASHA KASKAZINI SASA NI ZAMU YA MBULU.


Pichani matukio mbalimbali yaliyofanyika katika tamasha la tigo wilayani Mbulu, ambapo msanii H.Baba kutoka Dar es Salaam alitumbuiza. 

Pia kulikuwapo na vikundi vya sarakasi kutoka mkoani humo. Wateja wa Tigo walipata fursa ya kushinda zawadi mbalimbali pamoja na kupata huduma za Tigo zilizopatikana katika vibanda vya Tigo.

Wateja nao walipata huduma za tigo papohapo.
Msanii H.Baba kutoka Dar es Salaam akitumbuiza wakazi wa Mbulu.
Tijifunze, tuburudike lakini pia uimara wa afya unapatikana kwa kufanya mazoezi, tigo wanawezesha.
Samaki mkunje angali mbichi mtoto huyu anaanza mafunzo ya sarakasi kwenye umri huu je wadau wa soka mnaona?
H.Baba.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here