RUKIA ABDALHA ni mtoto wa miaka miwili anayeishiWilayani RUANGWA mkoani LINDI aliungua maji ya moto, akapelekwa hospitali ya wilaya RUANGWA ambako alipata huduma ya kwanza na kushauriwa aende NDANDA, NYANGAO au MUHIMBILI.
Wazazi wa RUKIA hawana uwezo kifedha kumfikisha ktk hospitali hizo, wanazidi kumuuguza mtoto huyo kienyeji nyumbani kwao na sasa mtoto huyo anatoa harufu kali......Kwa niaba ya Familia Mimi Abdulaziz Ahmeid,,,,wa Lindi Press Club na Mwandishi wa Channel ten Mkoa wa Lindi natumia fursa hii kumuombea mtoto huyu ili asaidiwe kupatiwa Matibabu ya Haraka kunusuru Maisha yake..
Kwa hisani ya Mdau
ABDULAZIZ VIDEO ,LINDI
Wazazi wa RUKIA hawana uwezo kifedha kumfikisha ktk hospitali hizo, wanazidi kumuuguza mtoto huyo kienyeji nyumbani kwao na sasa mtoto huyo anatoa harufu kali......Kwa niaba ya Familia Mimi Abdulaziz Ahmeid,,,,wa Lindi Press Club na Mwandishi wa Channel ten Mkoa wa Lindi natumia fursa hii kumuombea mtoto huyu ili asaidiwe kupatiwa Matibabu ya Haraka kunusuru Maisha yake..
Kwa hisani ya Mdau
ABDULAZIZ VIDEO ,LINDI
No comments:
Post a Comment