HATIMAYE REDDS MISS HIGHER LERNING APATIKANA JANA USIKU NI VIRGINIA MOKIRI KUTOKA UDOM. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, July 7, 2012

HATIMAYE REDDS MISS HIGHER LERNING APATIKANA JANA USIKU NI VIRGINIA MOKIRI KUTOKA UDOM.

Mlimbwende aliyenyakua taji la Ulimbwede la Redds Vyuo vya Elimu ya Juu (Redds Miss Higher Learning Institutions ) kwenye shindano lililofanyika jana usiku jijini Dar es Salaam Virginia Mokiri, kutoka Chuo Kikuu cha Dodom (UDOM) akiwapungia mkono mashabiki wa shindano hilo mara baada ya kuvalishwa taji hilo, kushoto ni mshindi wa pili Fatma Ramadhani kutoka Chuo Cha Uandishi wa Habari Arusha (ASJ) na kulia ni mshindi watatu  Fina Revocatuskutoka IFM Dar es Salaam.
Washiriki waliofika tano bora kutoka kushoto ni Virginia Mokiri, kutoka Chuo Kikuu cha Dodom (UDOM), Fatma Ramadhani kutoka Chuo Cha Uandishi wa Habari Arusha (ASJ), Jenifer Maluri kutoka IFM Dar es Salaam, Fina Revocatuskutoka IFM Dar es Salaam na Hilda Edward kutoka Chuo Cha Ustawi wa Jamii.
Akivalishwa taji na mrembo aliemaliza mudawake wa kushikilia taji hilo.
Akivaa umalkia kamili, kushoto ni mwalimu wa Warembo hao.
Washiriki wote 14 wakiwa kwenye vazi la jioni.
Mashabiki nao ilikua ni sehemu ya burudani walijitahidi kuwashangilia wapendwa wao.
Warembo hao walipata muda wakutumbuiza pia kwa kuonyesha uwezo wa kucheza.

Bob Junior na wanenguaji wake wakaongeza uhondo.

Baada mwenzao kutangazwa wakafanya hivi! sijui ni furaha ama kupongezana wenyewe wanajua.
Kumbe ilikua ni furaha kwanini? labda ni vigezo vimetimia kwa mshindi.
Mbunge wa Kisesa Mkoani Simiyu Luhaga Mpina ambae pia ni balozi wa vyuo Vikuu Tanzania na Mbunge wa bunge la Afrika akiwapungia mkono mashabiki wa ulimbwende, ndiye aliyekuwa Mgeni Rasmi kwenye shindano hilo. Huyu ndiye Mbunge Pekee wa CCM aliyeipinga bajeti ya Serikali ya CCM.
Hapa anakabidhi zawadi ya pesa 2.5Millioni kwa Mshindi wa kwanza.

1 comment:

Post Top Ad

Responsive Ads Here