HITIMA MAALUM KWAAJILI YA WALIOKUFA KWENYE AJALI YA MELI IMESOMWA LEO VISIWANI ZANZIBAR. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, July 22, 2012

HITIMA MAALUM KWAAJILI YA WALIOKUFA KWENYE AJALI YA MELI IMESOMWA LEO VISIWANI ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(wa tano kushoto) pamja na Viongozi wengine wa Serikali wakiungana na Waislamu  katika Swala ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam kuelekea Zanzibar,swala hiyo ikiongozwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi,katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar leo.
Baadhi ya waumini walioshiriki kwenye ibada hiyo.
Viongozi mbalimbali wa serikali ya zanzibar pamoja na Rais Mtaafu Amani Karume kushoto wakisoma hitima.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here