Huyu hapa anaitwa Chande Abdallah mtoto wa dadaangu ambaeye tukikua tukionekana kama mapacha kutokana na kukaa pamoja miaka mingi, tumesoma shule moja kuanzia Primary hadi sekondari tukiwa Kilwa. Tulihamia Zanzibar tkiwa wote kwa takribani miaka mitano kabla mimi sijaamua kuja kuishi Dar es Salaa. Alifanya ziara Kilwa baada ya kukaa Zanzibar kwa miaka mingi hapa pichani akiwa Kilwa kwnye picha na mtoto wa dadayake. Kimsingi alipiga picha nyingi na watu tofautitofauti jambo ambalo haikuwa kawaidayake kwenda na kamera wala hakuwa nakawaida ya kukaa na picha hata siku moja. Alikua siku zote akiniambi kwamba mimi siwezi kutunza picha nyumbani hata moja sina zinapotea. |
Baadi ya picha alizopiga akiwa Kijijini Pande Kilwa ndani ya Mwezi huu wa saba, kabla ya kufikwa na janga la kuzama baharini inauma sana jamani. |
Hapa akiwa kwenye picha ya pamoja na wapwaze yaani watoto wa dada zake. |
No comments:
Post a Comment