MBONGO AENDELEA KUTOA DOZI KWA WAZUNGU: - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, July 21, 2012

MBONGO AENDELEA KUTOA DOZI KWA WAZUNGU:

Bondia mtanzania Omary Kimweri (kushoto) ambaye anaishi nchini Australia akimtandika Yodpichai Sithsaithong, kwenye pambano lililofanyika The Melbourne Pavilion, Flemington, Victoria, Australia JULY13, 2012.Huku promota wa pambano hilo akiwa Brian Amatruda Omari Kimweri bondia huyo mtanzania amekuwa akifanya vizuri katika mapambano yake nje ya nchi kutokana na umairi wake wa mchezo wa masumbwi mda mrefu na amekua akishi Australia kwa kutegemea mchezo huo
Kimweri akiendeleza mashambulizi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here