Rais Kikwete arejea nchini, afuturu na yatima
na walemavu ikulu.
| Rais Kikwete akitoa zawadi kwa watoto yatima na walemavu mara baada ya kufutari nao kwenye futari maalum aliyowaandalia watoto hao kutoka vituo mbalimba vya jijini Dar es Salaam. |
| Watoto yatima na walemavu kutoka kwenye vituo mbalimbali vinavyowalea wakifutari kwenye futari waliyoandaliwa na Rais Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam jana. |
| Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa zawadi mara baada ya Futari hiyo Ikulu. |
