Breaking News Wafunikwa na kifusi. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, September 6, 2012

Breaking News Wafunikwa na kifusi.



Wakati Naibu Waziri  wa Nishati na Madini yupo Ziarani  Wilayani Ruangwa  leo watu 6 Wahofiwa kufa baada ya kufukiwa na  kifusi mgodini Chimbila (MNACHO) Wilayani Ruangwa-Mkoa wa Lindi Jitihada za kuwaokoa zimekuwa ngumu kutokana na Ukosefu wa zana ....Kufuatia harakati hizo Mpaka sasa Maiti Moja Imepatika..... Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza kupitia mtandao huu 
Na Abdulaziz video Rec,Lindi
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kuokoa wachimbaji hao
Ukosefu wa vifaa unatatiza juhudi za uokozi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here