Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la
msingi kuzindua rasmi ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata uliofanyika
katika
kijiji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo leo mchana.Wengine katika picha
kutoka
kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi, Kaimu Mkuu wa mkoa
wa Pwani
ambaye pia ni mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Said Meck Sadik(Wapili kushoto),Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe
Magufuli(wanne kushoto) na kulia ni Waziri wa Mazingira Mhe. Theresa
Hoviza.
Sehemu ya Barabara ya Bagamoyo Msata iliyojengwa
kwa kiwangi cha lami ambayo ujenzi wake ulizinduliwa Rasmi. Picha na
Freddy
Maro
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, September 18, 2012
Home
Unlabelled
JK AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA, BAGAMOYO MSATA.
JK AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA, BAGAMOYO MSATA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
DIRECTOR RAH TANZANIA BLOG. Photojournalist Tanzania Daima.
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
No comments:
Post a Comment