TANZANITEONE WAFUNGUA DUKA LA VITO JIJINI DAR - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, September 8, 2012

TANZANITEONE WAFUNGUA DUKA LA VITO JIJINI DAR

Mwenyekiti wa bodi ya Kampuni ya Uchimbaji madini ya Tanzaniteone Balozi Ami Mpungwe, akisoma hotuba kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa duka la uuzaji wa vito hivyo jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi wa Benki ya Standard charterd Jeremy Awory akiangalia zawadiyake aliyoshinda baada ya kuchezeshwa droo ya bahatinasibu wakati wa uzinduzi wa duka la kampuni ya uchimbaji wa madini ya Tanzaniteone kwenye hafla iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam, kulia ni General Manager wa kampuni hiyo Jacques Beytell.

Mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzaniteone Balozi Ami Mpungwe (kushoto) na Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Chande (katikati) wakijumuika pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa duka jipya la uuzaji wa vito hivyo jijini Dar es Salaam jana.

 Baadhi ya wageni na wafanyakazi wa Tanzaniteone wakifuatilia hafla hiyo.
 Wadau wa raha za Pwani Mr.Khatibu Makenga (kushoto) na Mr. Dotto Medad nao walishiriki kwenye hafla hiyo.

 Wafanyakazi wa Tanzaniteone Whitey Mshana (kushoto) na Teddy Kallaghe, wakiwa kwenye duka hilo jipya.
 Mr. Haggai Kinyau kutoka Tanzaniteone akiwa na timuyake Lab, kwenye duka hilo.
 Baadhi ya viongozi waliohudhuria.
Mandhari ya duka lenyewe kwa nnje.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here