MISS ILALA MPYA APATIKANA NI NAELA MICHAEL. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, September 8, 2012

MISS ILALA MPYA APATIKANA NI NAELA MICHAEL.

Miss Ilala 2012, Naela Michael (katikati) akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili Magdalena Munis (kushoto)  na mshindi wa tatu, Marry Chizi, baada ya kutangazwa washindi katika shindano lao lililofanyika kwenye Ukumbi wa Nyumbani Lounge, Namanga jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo.
Washiriki wa shindano hilo, wakicheza shoo yao ya pamoja ya ufunguzi.
 Mbwembwe za ufunguzi.
 Mgeni rasmi, Meya wa Ilala Jerry Slaa (wa pili kushoto) akifurahia shoo hiyo wakati akiwa na wageni waalikwa katika shinano hilo.
Washiriki wakipita jikwaani na vazi la Ufukweni.

PICHA KWA HISANI YA SUFIANI MAFOTO.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here