ZANZIBAR NA CHINA ZATILIANA SAINI MIKATABA YA KIUCHUMI. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, September 6, 2012

ZANZIBAR NA CHINA ZATILIANA SAINI MIKATABA YA KIUCHUMI.

 Waziri wa Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Zanzibar Omar Yussuf Mzee, kwa Upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akibadilishana  Mikataba baada ya kutiana saini Ushirikiano wa Kiuchumi  na Kiufundi, na Naibu Waziri wa Biashara wa China ZHONG SHAN,kwa Upande wa jamhuri ya Watu wa China, katika Ushirikiano hayo Zanzibar itapatiwa RMB 60 Milioni sawa na Fedha za Tanzania 14,8 Bilioni,ambapo fedha hizi ziatatumika katika kutekeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Waziri wa Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Zanzibar Omar Yussuf Mzee, kwa Upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akitiliana saini  Mkataba  wa  Mashirikiano ya Kiuchumi  na Kiufundi,na Naibu Waziri wa Biashara wa China ZHONG SHAN, kwa Upande wa jamhuri ya Watu wa China, katika Ushirikiano huo Zanzibar itapatiwa RMB 60 Milioni sawa na Fedha za Tanzania 14,8 Bilioni,ambapo fedha hizi ziatatumika katika kutekeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimkaribisha Makamo Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Watu wa China  Mhe,Hui Liangyu,mara alipowasili Ikulu Mjini Zanzibar jana.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here