ATCL KUREJESHA SAFARI ZAKE KUANZIA IJUMAA HII, YATANGAZA PIA BAADA YA KUANZA TENA KWA HUDUMA HIYO KUANZISHA SAFARI ZINGINE - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, October 10, 2012

ATCL KUREJESHA SAFARI ZAKE KUANZIA IJUMAA HII, YATANGAZA PIA BAADA YA KUANZA TENA KWA HUDUMA HIYO KUANZISHA SAFARI ZINGINE

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Kapteno Milton Lazaro, akionyesha mfano wa ndege ya shirika hilo wakati akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari jijini Dasr es Salaam jana juu ya mpango wa shirika hilo kurejesha safarizake kuanzia ijumaa hii.
Baadhi ya waandishi waliohudhuria kwenye mkutano huo wakifuatilia kwa makini maelezo ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL Kapteni Milton Lazaro.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here