MKUTANO MKUU WA UWT UNAENDELEA ZANZIBAR. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, October 7, 2012

MKUTANO MKUU WA UWT UNAENDELEA ZANZIBAR.

-->
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania { UWT } Mkoa Mjini wakiwa katika Mkutano wa Uchaguzi uliofanyika hapo katika Ukumbi wa Mikutano wa Afiusi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
Picha no:- 409 ni Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akiufungua Mkutano Mkuu wa UWT Mkoa Mjini hapo katika Ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini,kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa CCM ambae pia ni Katibu wa Oganaizesheni ya Chama cha Mapinduzi Taifa Bibi Asha Abdulla Juma na Kushoto ni Mwenyekiti wa UWT Mkoa Mjini Bibi Samia Mohd Amar.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here