ARUSHA ILIVYO LIPUKA BAADA YA LEMA KUTANGAZWA AMESHINDA RUFAA YAKE. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, December 21, 2012

ARUSHA ILIVYO LIPUKA BAADA YA LEMA KUTANGAZWA AMESHINDA RUFAA YAKE.

Baada ya Godbless Lema kushinda rufaayake jijini dar es salam na kurejeshewa Ubunge huko Arusha kumelipuka furaha  ambapo makundi mbalimbali ya Vijanayameonekana yakiranda barabarani na bendera za Chadema wakiwa ni pamoja na  waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wakipiga honi mji mzima ambapo watu maweacha kufanya shugulu zao na kujadili ushindi wa mbunge wa jimbo hali ya usalama ni tulivu kabisa.
Kushinda raha bila shaka wanakumbuka 2010 baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi.
Kila kona furaha.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here