GESI YAANZA KUONYESHA DALILI ZA LAANA! MZIKI WA WAMAKONDE WAMLENGA MKUU WA KAYA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, December 28, 2012

GESI YAANZA KUONYESHA DALILI ZA LAANA! MZIKI WA WAMAKONDE WAMLENGA MKUU WA KAYA.

Wakazi hao wakiwa na mabango yao yenye ujumbe mbalimbali wakati walipofanya maandamano yao jana kupinga Gesi iliyogundulika Mkoani humo kusafirishwa kupelekwa Dar es Salaam.
Mabango kama yanavyosomeka!
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Mtwara Mjini wakiwa kwenye maandamano makubwa waliyoyafanya kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!
Waandamanaji wakiwa wamekusanyika kwenye moja ya uwanja mjni Mtwara wakipinga gesi kusafirishwa kwenda jijini Dar!


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here