BONDIA IDDY MNYEKE AJIFUA KUMKABILI SADIKI MOMBA FEBRUARY 14. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, January 16, 2013

BONDIA IDDY MNYEKE AJIFUA KUMKABILI SADIKI MOMBA FEBRUARY 14.

Bondia Iddy Mnyeke kulia akioneshana ubabe wa kutupiana masumbwi na Mussa Sunga wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala  Dar es salaam, Mnyeke anajiandaa na Mpambano wake dhidi ya Sadiki Momba February 14 katika ukumbi wa Friends Conner, Manzese jijini Dar es Salaam.
Mnyeke kulia akiwa mazoezini na Musa Sunga kulia.
Ndonga ya chembe!

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here