BREAKING NEWS, MTWARA TENA!! HALI TETE AMANI IMETOWEKA, SERIKALI LAWAMANI. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, January 26, 2013

BREAKING NEWS, MTWARA TENA!! HALI TETE AMANI IMETOWEKA, SERIKALI LAWAMANI.


Masasi.
Hosteli ya wanafunzi wa chuo cha Utumishi yakoswa koswa kuchomwa moto kwa kile kinachodhaniwa kuwa na uhusiano na Hawa Ghasia pamoja na kituo kidogo cha Polisi Cha Shangani mkoani Mtwara

NEWALA nako wanajipanga rasmi Kumkataa Mbunge wao.

MASASI
Vurugu zahamia wilaya ya Masasi mkoani Mtwara Nyumba ya Mbunge wa Masasi nayo yateketezwa kwa Moto hivi sasa...Madereva Bodaboda waandamana ...Vurugu zashamiri Mabomu Kibao..Hali ni tete

Kero no/1 miaka 50  haijaisha gesi Miezi 18 inatua Dar, halihalisi
POLISI jana  wamelazimika kupiga mabomu ya machozi kutwa nzima katika kata ya Chikongola, Manispaa ya Mtwara Mikindani kutawanya wananchi walioizingira nyumba ya diwani wa kata hiyo Mohamedi Chehako kwa madai ya kuwahifadhi wachawi ndani ya nyumba yake, huku mwandishi wa habari mmoja akiripotiwa kujeruhiwa.
 Habari ambazo hazijathibitishwa na kamanda wa polisi mkoani hapa, Maria Nzuki zinadai kuwa majira ya saa 10 kasoro za jioni watu wanaodaiwa kuwa ni wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) waliingilia kati na kuanza kutembeza mkong’oto kwa wananchi ili kuzima vuguvugu hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here