Kwaumakini wanafunzi hao wakimsikiliza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed wakati akiwahutubia kwenye mahafali yao.
Changamoto
zinazowakabili zilizoelezwa kwenye risala ya wanafunzi hao
Kutoruhusiwa kuvaa hijabu ingawa shule
zingine za Jeshi hilo kama Makongo na Airwing wanaruhusiwa kuvaa lakini Jitegemee
imekuwa vigumu kuruhusu pamoja na aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi na
Usalama Abdurahmani Shimbo kwenye mahafali kama hayo alitoa agizo kuwa
wanafunzi wakiislamu waruhusiwe kuvaa hijabu lakini agizo hilo halijatekelezwa.
Changamoto nyingine ni ukoseph wa mwalimu rasmi kwa somo la Islamic Knowledge
|
No comments:
Post a Comment