KOMBE LA MAJIMBO LAZINDULIWA ZANZIBAR. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, January 15, 2013

KOMBE LA MAJIMBO LAZINDULIWA ZANZIBAR.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, akisalimiana na Wachezaji wa Timu ya Jimbo la Kikwajuni  wakati ufunguzi wa mashindano ya Majimbo ya CCM Wilaya ya Mjini, timu hiyo ilipocheza na Timu ya Mji Mkongwe, katika mchezo huo Mji Mkongwe waliwacharaza kikwajuni 1-0.
Mchezaji wa Timu ya Mji Mkongwe khalfani Jabu, (kulia) akijaribu kumtoka Jaku Mohamed  wa Ti mu ya Jimbo la Kikwajuni, katika mshindano ya majimbo mchezo uliochezwa katika Uwanjawa Mao Dzedong  jana, katika mchezo huo Mji Mkongwe ilitoka kifua mbele kwa 1-0, Picha na Mwarabu Mmadi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here