![]() |
Pichani juu ni baadhi ya magari
mbalimbali yalioyoathiriwa vibaya kufuatia kungukiwa na ukuta.
|
![]() |
Picha hii inaonesha eneo hilo kwa upanawake lilivyo athirika na tukio hilo nanamna magari na bajaji zilivyo athirika |
![]() |
Baadhi ya wananchi wakishuhudia mabaki ya kuta hizo zilizo haribu magari. |
![]() |
Kutokana na ajali hii kuna baadhio ya watu wamejeruhiwa na kukimbizwa Hospitali. |
![]() |
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi, Kinondoni,
Afande Charles Kenyela akitoa maelekezo mafupi kwa baadhi ya maofisa wa Polisi
waliokuwa wamefika kwenye eneo la tukio mapema leo asubuhi.
|
No comments:
Post a Comment