MWAKYEMBE ALIPOKUTANA NA TAFFA! - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, March 8, 2013

MWAKYEMBE ALIPOKUTANA NA TAFFA!

Wananchama wa Wakala wa Forodha na Uondoshaji Shehena Tanzania (TAFFA), wakimsikiliza Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani), Wakati alipo kutana nao ukumbi wa Karimjeee. Waziri wa Uchukuzi amewaagiza wananchama hao kuhakikisha wanawaondoa mawakala ambao wanawaharibia sifa yao.
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe(Mwenye suti nyeusi), akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa Wakala wa  Forodha na Uondoshaji Shehena Tanzania(TAFFA) Bw. Edward Urio (kulia kwa Dkt Mwakyembe), wakati wa mkutano wake na Wananchama wa wakala hiyo.
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo kwa wanachama wa wakala wa forodha na uondoshaji shehena Tanzania(TAFFA) wakati alipokutana nao katika ukumbi wa Karimjee.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here