Kamishna
wa Sensa
nchini Bi, Hajjat Amina Mrisho (kushoto)
akielezea namna
walivyojipanga kushirikiana na vyombo vya habari katika mkutano huo
ambapo
alisema kuwa wametenga kiasi cha Bilioni 141.5 kwa ajili ya kuhakikisha
kuwa
swala hilo linakamilika ipasavyo. kulia ni Mkurugenzi wa operesheni ya
Takwimu
Bi, Radegunda Maro.
Mkurugenzi
Mtendaji
wa Kampuni ya The Guardian Bw, Kiondo Mshana wa kwanza kushoto pamoja na
wakurugenzi wengine wakisikiliza kwa
makini mjadala huo.
Baadhi
ya wamiliki
mbalimbali wa vyombo vya habari waliohudhuria katika mkutano huo.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Saturday, June 2, 2012
Home
Unlabelled
WANAHABARI WAPATA MAFUNZO KUHUSU SENSA YA IDADI YA WATU NA MAKAZI.
WANAHABARI WAPATA MAFUNZO KUHUSU SENSA YA IDADI YA WATU NA MAKAZI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
DIRECTOR RAH TANZANIA BLOG. Photojournalist Tanzania Daima.
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
No comments:
Post a Comment