DK.SHEIN AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI NA WANASIASA PEMBA. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 26, 2012

DK.SHEIN AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI NA WANASIASA PEMBA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na viongozi mbali mbali, alipowasili kufungua Semina ya siku tatu kuhusu Uimarishaji uhusiano baina ya Viongozi wa Kisiasa na Kiutendaji katika Serikali za mitaa Wesha Kisiwani Pemba leo.
Baadhi ya Viongozi wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, alipokuwa akifungua Semina ya siku tatu kuhusu Uimarishaji Uhusiano baina ya
Viongozi wa kisiasa na Kiutendaji katika Serikali za Mitaa,Wesha Pemba leo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here