DK.SHEIN AZINDUA TOVUTI YA WATU WENYE ULEMAVU. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, September 29, 2012

DK.SHEIN AZINDUA TOVUTI YA WATU WENYE ULEMAVU.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akikabidhi Picha ya Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,iliyochorwa na kuuzwa kwa shilingi za Kitanzania Milioni moja  na Laki tatu,kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zahra Ali Hamad, katika hafla ya kuchangia Fedha kwa Mfuko wa Watu wenye Ulemavu Zanzibar,iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort nje ya Mji wa Unguja,(kushoto) ni Mwenyekiti wa Mfuko huo pia Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,  akizindua Tovuti ya Mfuko wa Watu wenye Ulemavu,wakati wa hafla ya uchangishaji fedha kwa ajili ya mfuko huo Zanzibar leo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here