KWENYE BURUDANI JIJINI DAR. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, September 4, 2012

KWENYE BURUDANI JIJINI DAR.


Tigo yadhamini maonyesho ya sarakasi ya Mama Africa.
Mtaalam wa Promosheni Uhusiano na Udhamini wa kampuni ya Tigo, Edward Shila, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu udhamini wa kampuni hiyo kwenye maonyesho ya Sarakasi ya Mmama Afrika yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya New World Cinema, kulia ni afisa habari wa Tigo Alice Maro.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mancom ambayo ndio waandaaji wa maonyesho hayo, Costantine Magavila akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio hilo litakalodumu kwa mwezi mzima jijini humo.
Baadhi ya vijambo vitakavyoonekana kwenye maonyesho hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here