Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda (kushoto) akiwa na
naibu Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Aridhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Maria
Bidila, Balozi wa Tanzania nchini Italia Dk. Alex Msekela na Naibu waziri wa
Aridhi nyumba na maendeleo ya makazi Goodluck Ole Medeye, wakibadilishana
mawazo kabla ya kuanza kwa mkutano wa 6 wa miji na makazi mjini Napoli Italia
leo,zaidi ya nchi 150 zinatarajia kuhudhuria mkutano huo.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Monday, September 3, 2012
Home
Unlabelled
MRADI WA MJI MPYA KIGAMBONI UMEKUA KIVUTIO NCHINI ITALIA KWENYE MKUTANO WA MIJI NA MAKAZI LEO.
MRADI WA MJI MPYA KIGAMBONI UMEKUA KIVUTIO NCHINI ITALIA KWENYE MKUTANO WA MIJI NA MAKAZI LEO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
DIRECTOR RAH TANZANIA BLOG. Photojournalist Tanzania Daima.
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
Email: saidpowa@gmail.com, Contact: +255797779095
No comments:
Post a Comment