NGOMA AFRIKA BAND WANAVYOTAMBA UGHAIBUNI. - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 19, 2012

NGOMA AFRIKA BAND WANAVYOTAMBA UGHAIBUNI.

--> -->
Kundi la wanamuziki wa Tanzania kijulikanacho kwa jina la Ngoma Afrika Band maarufukwa jina la FFU wa Ngoma juzi walipagawisha mashabiki wao kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Afrika Messe Mjini Bremen Ujerumani. Ngoma za  bendi hiyo zimekamata nafasi ya juu katika vituo mbali mbali vya Redio ndani na nje ya Ujerumani, baadhi ya vituo vya radio zikiwamo Redio maarufu nchi Ujeruamani Radio Funkhaus Europa na Radio Mult-Kult ndizo zinarusha kwa fujo nyimbo za Ngoma Africa band, inayo ongozwa na kamanda Ras Makunja wa FFU.
-->
Kundi la wanamuziki wa Tanzania kijulikanacho kwa jina la Ngoma Afrika Band maarufukwa jina la FFU wa Ngoma wakipozi kwa picha mjini Bremen Ujerumani kabla ya kutumbuiza mashabiki wao.
Mashabiki waliopagawishwa na burudani ya bendi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here