WALIMU NA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI LIPANGALA WAJISAIDIA PORINI , MBUNGE FILIKUNJOMBE AGEUKA MBOGO - RAHA ZA PWANI

Habari za Hivi Punde

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, December 28, 2012

WALIMU NA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI LIPANGALA WAJISAIDIA PORINI , MBUNGE FILIKUNJOMBE AGEUKA MBOGO

Hiki ni  choo cha  muda  cha kwanza  cha shule ya msingi Lipangala Ludewa mkoani Njombe    kilichobomoka toka mwaka 2004 Shule ya msingi Lipangala Ludewa  Hiki ni choo cha kisasa ambacho  kimejengwa  sasa katika  shule ya Msingi Lipangala ambacho pia kimeanza kubomoka  Hiki kilikuwa ni choo cha  walimu miaka  hiyo kwa  sasa shimo jipya  linachimbwa mbele  ili  kurejesha huduma ya choo kwa  walimu  Hii ndilo hali halisi ya  choo hiki cha  walimu shule ya Msingi Lipangala Ludewa ,kwa  sasa hakitumiki
Choo cha Walimu.
Shule ya Msingi Lipangala.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here