![]() |
Wanachadema wakitembea kwa maandamano kuelekea kwenye ofisi za
Chama chao zilizopo Kinondoni jijini Dar. |
![]() |
Mwanamama huyu ambaye ni Mama ntilie na hakutaka kuwa nyuma kishangilia ushindi wa Mbunge wa Jimbo la Arusha,Mh. Godbress Lema. |
![]() |
Pongezi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama,Mh. Wilbrod Slaa. |
No comments:
Post a Comment